Hii Mimba Imenipa Funzo Sasa Nimekua Naacha Utoto- Gigy Money

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii Mimba Imenipa Funzo Sasa Nimekua Naacha Utoto
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kwa sasa ameachana na mambo ya kitoto ili kuwa mama bora kwa mwanaye anayetarajia kumpata.



Akizungumza na Showbiz Xtra, Gigy alisema kutokana na kwamba anatarajia kupata mtoto hivi karibuni, amejikuta akiachana kabisa na mambo ya kitoto aliyokuwa nayo kabla ya ujauzito na sasa anafikiria mambo ya kiutu uzima zaidi.


“Nimekua kwa kweli, unajua huu ujauzito umenipa funzo la maisha na sasa naenda kuwa mama hivyo ili niwe mama bora lazima nibadilike kwa kila kitu siyo kuendelea na yale maisha ya kitoto ya kujiachia kihasarahasara,” alisema Gigy
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad