AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mara ya kwanza Simba kumuita mwanasaikolojia huyo ilikuwa ni katika maandalizi ya mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam FC na vinara hao wa ligi waliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi.
Simba inayodhaminiwa na Kampuni ya Kubashiri Matokeo ya SportPesa inatarajia kuwakaribisha Al Masry katika mechi ya kwanza ya raundi ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mauki ametoa darasa na kuwaeleza wachezaji wanavyotakiwa kujijenga ujasili pale wanapokuwa ndani ya uwanja wakipambana kusaka ushindi.
"Mwanasaikolojia huyo aliwaambia aliwaeleza namna mchezaji anavyopaswa kujitambua na kujiamini pindi anapokuwa uwanjani wakati wa mechi ili kuisaidia timu kupata matokeo chanya," alisema kiongozi mmoja.
Baada ya mechi ya kesho, timu hizo zitaendelea na mechi zao za ligi na baadaye kurejeana katika mchezo utakaofanyika Machi 17 mwaka huu katika mji wa Port Said huko Misri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK