Hali ya Tundu Lissu Yazidi Kutengema Sasa Aanza Kufanya Mazoezi Mitaani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hali ya Tundu Lissu Yazidi Kutengema Sasa Aanza Kufanya Mazoezi Mitaani
Hali ya afya ya Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Mhe. Tundu Lissu imeendelea kuimarika na sasa ameanza kufanya mazoezi mitaani.

Lissu ambaye yupo nchini Ubelgiji akiwa katika matibabu alipopelekwa tangu mapema mwezi January mwaka huu, ameonekana kwenye picha kadhaa akiwa na mkewe katika mazoezi hayo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad