AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mudathir ambaye anaichezea Singida United kwa mkopo wa msimu mmoja kutokea Azam, kwasasa ni mchezaji huru baada ya Azam kuweka wazi kuwa hawataendelea naye hivyo kama kuna timu inamtaka inaweza kumpata akiwa huru.
Kwa upande wa Singida United bado hawajaweka wazi kama watafanya taratibu za kumsajili kwa mkataba wa kudumu kiungo huyo ambaye kwasasa amerejea timu ya taifa ya Taifa Stars baada ya kukosekana kwa muda.
Mkurugenzi wa Singida United Festo Sanga amesema bado wanalishughulikia suala hilo na watalitolea taarifa kwa muda muafaka lakini kwasasa bado wanajua Mudathir ni mchezaji wao kwa mkataba wa mkopo.
''Ni kweli amemalizana na klabu yake ya Azam FC ambayo sisi tulimsajili kwa mkopo kwa mkataba wa mwaka mmoja lakini kwasasa suala lake tunalishughulikia baada ya timu yake kuweka wazi kuwa haitaendelea naye na amemaliza mkataba kwahiyo ni mchezaji huru'', amesema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK