AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sugu ambaye amefungwa miezi mitano katika gereza la Rwanda Mbeya kwa kosa la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Rais John Magufuli alipata taarifa akiwa gerezani hapo kuwa diwani huyo amefiwa na mama yake mzazi na kuamua kutoa rambirambi ya shilingi laki moja kwa ajili ya msiba huo.
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wanatumikia kifungo cha miezi mitano jela katika gereza la Rwanda Mbeya.
CHADEMA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini - Nyasa imethibitisha juu ya taarifa hiyo na kusema ni kweli Sugu ametoa rambirambi hiyo kwa diwani huyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK