AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbali na Gugai, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni George Makaranga, Leonard Aloys na Yasini Katera.
Hayo yameeleza na Wakili wa TAKUKURU, Vitalis Peter mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba wakati shauri hilo lilipoitishwa kwa ajili ya kutajwa.
Wakili Vitalis amedai kuwa upelelezi wa shauri hilo umekamilika, hivyo anaomba tarehe kwa ajili ya kumsomea mshtakiwa maelezo ya awali (Ph).
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba ameahirisha kesi hiyo hadi April 10, 2018 kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali.
Kwa pamoja washtakiwa wanaokabiliwa na mashtaka 43 yakiwemo 20 ya utakatishaji fedha haramu, kumiliki mali zisizoendana na kipato na kughushi mikataba ya mauziano ya viwanja katika maeneo mbalimbali.
Gugai na wenzake wanasota mahabusu kutokana na kukabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha ambayo hayana dhamana kwa mujibu wa sheria.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK