AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huu ni mchezo muhimu katika tarehe zilizopo kwenye kalenda ya FIFA ambapo kocha msaidizi, Hemed Morocco tayari amesema wanauchukulia kwa uzito mkubwa na nia ni kufanya vizuri.
Katika mwezi huu wa Machi, Taifa Stars ilipanga kucheza mechi mbili za kirafiki, kwanza ikiwa tayari imechezwa nchini Algeria dhidi ya timu ya Taifa ya nchi hiyo.
Kikosi hicho cha Taifa Stars kitaongozwa na nahodha wake Mbwana Samatta anayecheza katika timu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
Mbali na Samatta, wachezaji wengine waliyoitwa kwenye kikosi na kocha Salum Mayanga ni pamoja na Aishi Manula, Ramadhan Kabwili, Mohamed Abdulrahman, Shomari Kapombe, Gadiel Michael, Abdi Banda, Kelvin Yondan, Himid Mao Simon Msuva, Mudathir Yahya, Mbwana Samatta, Said Ndemla na Shiza Kichuya.
Wengine ni Hassan Kessy, Erasto Nyoni, Shaban Chilunda, Ibrahim Ajib, Yahaya Zayd, Mohamed Issa, Rashid Mandawa na Faisal Salum.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK