Waandamanaji wakabiliana na Polisi Ukraine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waandamanaji wakabiliana na Polisi Ukraine
Watu kadhaa wamejeruhiwa mjini Kiev nchini Ukraine, wakati wa makabiliano kati ya waanamanaji wanaoipinga serikali na Polisi.

Vyombo vya habari nchini humo vimesema makabiliano hayo yalianza wakati waandamanaji walipowasha moto matairi ili kuwazuia maafisa wasifanyie ukaguzi Kambi ya waaandamanaji iliyokuwa nje ya Bunge.

Polisi wa Ukraine wamesema watu 50 wamekamatwa.Wamesema walikuwa wanafanyia uchunguzi kambi hiyo ili kupata ushahidi kuhusu makabiliano yaliyofanyika jumatatu iliyopita na kusababisha maafisa polisi kadhaa kujeruhiwa.

Katika kamatakamata hiyo Polisi wamekamata maguruneti ya kurushwa kwa mkono yaliyokuwa kwenye turubai la kambini hapo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad