AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyota huyo wa anatarajiwa kufanyiwaupasuaji wa mguu baada ya kuumia enka Jumamosi iliyopita, timu yake PSG ikishinda 3-0 katika Ligi ya Ufaransa, Ligue 1 dhidi ya Marseille.
Pamoja na klabu yake awali kusema mchezaji huyo hakuhitaji upasuaji, lakini mshambuliaji huyo jana usiku aliwasili katika hospitali ya Mater Dei Hospitalhuyo nchini kwao, Brazil.
Brazil imeamua kumchukua Neymar kumtibu haraka ili isije ikamkosa kwenye Fainali za kombe la Dunia nchini Urusi katikati ya mwaka.
Sasa PSG wanaelekea kwenye mchezo wa marudiano wa 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wiki ijayo bila Neymar wakitakiwa kuifunga Real Madrid 2-0 mjini Paris ili kwenda Robo Fainali, kufuatia kufungwa 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Madrid.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK