AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tajiri huyo wa taxi anayejulikana kama Yaseen Abrahams siku za hivi karibuni ametangaza kuwa yeye na wenzake ambao wanahusika kwenye biashara hiyo watakuwa wanawapakia wazee wa miaka zaidi ya 70 bila kuwatoza gharama yoyote.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 25 aliandika tangazo hilo kwenye ukurasa wake wa Facebook akiwa kwenye mji mmoja karibu na Cape Town, jambo lililosababisha watu kumsifu kwa kuchukua hatua hiyo kuwasaidia wazee.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK