AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyasema hayo jana katika kongamano la UNILIFE lililofanyika Chuo cha Biashara (CBE), ambalo liliandaliwa na Mbunge wa Viti maalum, Ester Mmasi.
Alisema wanafunzi hawatakiwi kufanya harakati ili wawe adui wa serikali kwani yenyewe haina muda wa kushughulikia mashinikizo ya wanafunzi.
“Nilishawahi kufanya harakati nikiwa chuoni na nilipewa jina la Chifu..majina yangu yamekuja kujulikana nikiwa serikalini lakini nilikuwa napinga baadhi ya ajenda za Taifa ambazo niliona hazina manufaa,” alisema Dk Mwigulu.
Alisisitiza kuwa wanafunzi wengi kwa sasa wamekuwa wakiitafuta taswira mbaya ya serikali bila kuangalia masuala mengine yanayopaswa kuungwa mkono.
“Kuwa kijana mwema chuoni sio kwa kuwa kimya Bali kuwa na mitazamo chanya nabukiona mwanazuoni anabisha jambo jema ujue kuna kasoro,” alisema
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK