Wizara haina ugomvi na msanii yeyote wa Tanzania – Waziri Shonza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wizara haina ugomvi na msanii yeyote wa Tanzania – Waziri Shonza
Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison G. Mwakyembe (Mb) leo tarehe 29 Machi, 2018 akimbatana na Naibu Waziri, Juliana D. Shonza (Mb), Katibu Mtendaji wa BASATA, Mwakilishi wa Bodi ya Filamu Tanzania na Katibu wa Chama cha Muziki wa Kizazi (TUMA) wamekutana na wasanii Roma Mkatoliki na Suzan Michael (Pretty Kind) kujadili maombi yao ya kusamehewa adhabu zao za kufungiwa kujishughulisha kwenye Sanaa kwa kipindi cha miezi 6.



Baada ya majadiliano yaliyochukua zaidi ya masaa 4 Waziri na Naibu Waziri walitoa uamuzi wa kuwafungulia wasanii hao ili waendelee kujishughilisha na kazi za sanaa. Aidha, Msanii Roma alitangaza kuufuta wimbo wake wa “kibamia” na kuomba vyombo vyote vya matagazo nchini kutourusha wimbo huo, ili usiendelee kuleta ukakakasi nchini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad