AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya majadiliano yaliyochukua zaidi ya masaa 4 Waziri na Naibu Waziri walitoa uamuzi wa kuwafungulia wasanii hao ili waendelee kujishughilisha na kazi za sanaa. Aidha, Msanii Roma alitangaza kuufuta wimbo wake wa “kibamia” na kuomba vyombo vyote vya matagazo nchini kutourusha wimbo huo, ili usiendelee kuleta ukakakasi nchini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK