Mahakama ya Kenya Yawahukumu Waziri, IGP na Mkuu wa Uhamiaji Kisa Mugina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mahakama ya Kenya Yawahukumu Waziri, IGP na Mkuu wa Uhamiaji Kisa Mugina

Mahakama nchini Kenya imewahukumu Waziri Fred Matiang'i, Mkuu wa Uhamiaji Gordon Kihalangwa na IGP Joseph Boinnet kulipa faini KSh200,000 (Sh4.4m) kwa kosa la kuidharau mahakama

Jaji wa Mahakama Kuu George Odunga Jumatano alisema waziri wa usalama nchini humo, mkuu wa polisi na mkuu wa idara ya uhamiaji watakuwa wamekaidi maagizo ya mahakama iwapo wangekataa kumwachilia huru.

Alikuwa ametoa ilani kwa watatu hao kufika mahakamani baadaye Jumatano lakini baada yao kukosa kufika akawapata na hatia ya kukaidi agizo la mahakama.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad