AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo amesema habari hizo hazina ukweli wowote ila zimesababishwa na ukaribu wao pamoja na umaarufu.
“Wolper ni dada ambaye ananisapoti katika muziki wangu na nilivyopata hizo taarifa sikujisikia vizuri kwa kweli, nilijisikia vibaya kwa maana tunaheshimiana sana, sijashangaa sana kwa sababu ni msanii kwa hiyo ni lazima iwe hivyo,” amesema.
Katika hatua nyingine kundi hilo limesema lipo katika mchakato wa kutoa albamu ila hilo litafanyika baada ya kutoa kazi zao kubwa ambazo wanazo kwa sasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK