AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa ya Dismas imeeleza kuwa Waziri Mwakyembe ndiye ataongoza maelfu ya mashabiki wa soka nchini watakaojitokeza kwenye uwanja wa Taifa kushuhudia mtanange huo.
"Kwenye mchezo wa leo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Township Rollers FC toka Botswa mgeni rasmi atakuwa Mhe. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe", imeeleza taarifa hiyo.
Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa majira ya saa 10:00 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki na kati katika dimba la Taifa na baada ya wiki moja timu ya Yanga itaradhimika kusafiri kwenda nchini Botswana kwa ajili ya mechi ya marudiano.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK