Alichokisema Dogo Janja Baada ya Video ya Utupu Iliyovuja ya Nandy na Bill Nass

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alichokisema Dogo Janja Baada ya Video ya Utupu Iliyovuja ya Nandy na Bill Nass
April 12 katika upande wa burudani moja kati ya stori zilizochukua headlines ni kuvuja kwa video clip ikiwaonesha muimbaji Nandy akiwa mapenzini na msanii mwenzake Billnass.

Nandy baada ya kuvuja kwa video hiyo alikiri kuwa ni yake na kuomba msamaha kwa mashabiki, familia yake na kila mmoja aliyechukizwa na video.



Baada ya kila mmoja kuwa na mawazo tofauti kuhusiana na ishu ya Nandy na Billnass ila Dogo Janja ameamua kumtetea Nandy kwa kuamdika ujumbe huu katika ukurasa wake wa instagram “Asiyekuchoka kwenye shida MUNGU atamlinda zaidi ili mcheke wote kwenye raha.. #MyRichFriend@officialnandy ❤️ #NoBodyIsPerfect“>>> Dogo Janja
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad