Alikiba Akaribishwa Rasmi Katika Umiliki wa Kinywaji cha Mofaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alikiba Akaribishwa Rasmi Katika Umiliki wa Kinywaji cha Mafaya
Siku ya April 29, 2018 msanii Alikiba alitambulisha kinywaji kipya ambacho ni energy Drink walichokipa jina la Mofaya Energy Drink katika sherehe ya harusi yake na mdogo wake Abdukiba katika ukumbi wa Serena Hotel iliyopo Jijini Dar Es Salaam.

Sasa baada ya Alikiba kukitambulisha kinywaji hicho, leo April 30, 2018 kupitia ukurasa wa Instagram wa kinywaji hicho cha Mofaya energy Drink wamepost picha ikimuonesha Alikiba akikaribishwa rasmi katika umiliki wa kinywaji hicho huku wakiambatanisha na ujumbe huu..

..>>>“We welcome our new boss to the winning team @officialalikiba . Welcome sir we are honored to have you on board. We welcome our new owner Mr @officialalikiba who joins us as a new shareholder and will be heading the East African team.” – Mofaya
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad