Kichuya Amtolea Povu Zito Yondani Baada ya Kumtemea Mate Asante Kwasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kichuya Amtolea Povu Zito Yondani Baada ya Kumtemea Mate Asante Kwasi
Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Shiza Kichuya, amezungumzia kitendo cha beki wa Yanga, kelvin Yondani kumtemea mate mchezaji wa Simba Asante Kwasi akieleza kuwa ni cha kukemewa.

Kichuya ameandika ujumbe mfupi kupitia Instagram unaoonesha kuchukizwa na kitendo hicho alichokifaya Yondani jana katika mchezo wa ligi ambao Simba walishinda kwa bao 1-0.

Kichuya ameandika kuwa tabia hiyo kwa wacheza haipendezi na ni ya kishamba hivyo inapaswa isiendelee kufanyika kwasbabu kuna maisha baada ya mpira.

"Mpira siyo vita, kumtemea mwenziyo mate ni kukosa ustaarabu na utu, tukemee hii tabia na tuache ushamba, kuna maisha baada ya mpira" ameandika Kichuya.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad