Aslay Afunguka Kifo cha Masogange Kilivyozima Ngoma Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aslay Afunguka Kifo cha Masogange Kilivyozima Ngoma Yake
Msanii wa muziki Bongo, Aslay amesema ngoma yake ya mwisho kutoa ‘Kwa Raha’ licha kuendelea kufanya vizuri imekumbana na misukosuko.

Muimbaji huyo amesema ngoma hiyo aliitoa kama zawadi kwa mashabiki wake kwani ngoma yake ya mwisho kutoa rasmi ni Nibebe mara baada ya kubadilisha mfumo wake wa kutoa ngoma.

“Kwa Raha nilitoa kama zawadi kwa sababu kuna ngoma inakuja kuitoa tena baadaye ila nasema ni ngoma yangu naipenda na namshukuru Mwenyenzi Mungu imeenda japo kuwa hapa kati imekutana misukosuko, Agness amefariki, kuna vitu kibao vimetokea lakini nashukuru ngoma hivyo hivyo inaenda,” Aslay ameiambia Bongo5.

Ngoma ya Kwa Raha, Aslay aliitoa April 17, 2018, ngoma hiyo ambayo ni ya pili kwa yeye kutoa kwa mwaka huu hadi sasa ina views 481,993 katika mtandao wa YouTube.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad