AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na www.eatv.tv. Mheshimiwa Heche amesema kwa sasa wapo kwenye kikao cha familia wakijadili juu ya suala hilo, na watakapopata suluhu ya kuzika ama la, wataujulisha umma.
Chacha Suguta aliuawa Ijumaa ya April 27 kwa kuchomwa kisu na polisi wa kituo cha Sirari, waliokuwa wamemkamata baada ya kumkuta bar akinywa pombe.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK