Aveva Afika Mahakamani Akiwa na Hali Mbaya Atembea Akishikiliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aveva Afika Mahakamani Akiwa na Hali Mbaya Atembea Akishikiliwa
Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva ambaye alikuwa akiugua kwa muda mrefu, leo Aprili 5, amefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuhudhuria kesi yake inayomkabili licha ya hali yake kuonekana imedhoofika huku akishikwa mkono kumsaidia kutembea.



Akiwa mahakamani hapo, muda mwingi alionekana kusaidiwa na makamu wake Godfrey Nyange maarufu kama Kaburu ambaye ni mtuhumiwa mwenzake katika kesi hiyo ambapo wawili hao wanakabiliwa na mashtaka matano ya kughushi, nyaraka na kutakatisha fedha kiasi cha Dola za Marekani 300,000.



Katika kesi hiyo, upande wa mashtaka umeiomba mahakama kusogezwa mbele kesi ili kubadili hati ya mashtaka na kuongezwa mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo. Aidha, mahakama imeahirisha kesi hadi April 12, mwaka huu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad