Mtanzania Aliyemuua Mkewe Apandishwa Kizimbani Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtanzania Aliyemuua Mkewe  Apandishwa Mahakamani
Stori kutokea Uingereza leo April 5, 2018 ni kumhusu Kema Salum ambae ni Mtanzania amepandishwa kwa mara ya kwanza Mahakamani katika Mahakama ya Crown kwa tuhuma za kumuua mke wake, Leyla Mtumwa.

Salum mwenye miaka 38 anadaiwa kumuua mke wake, Leyla, siku ya Ijumaa kuu kwa kumchoma visu mara shingoni na kifuani. Mauaji hayo yalifanyika nyumbani kwa wanandoa hao, Kirkstall Avenue, Haringey, Uingereza.

Kesi hiyo ya Salum haikuweza kusikilizwa baada ya kuwepo kwa mgomo wa wanasheria wa ngazi za juu nchini humo ulioanza tangu April 1, 2018.

Wakili anayemtetea Seona White amesema amewasiliana na vitengo zaidi ya 20 vya wanasheria, lakini hakuna aliyekubali kumtetea Salum kutokana na mgomo wa Wanasheria unaoendelea,

Jaji wa mahakama hiyo, Anuja Dhir amesema kesi hiyo itasikilizwa tena June 20 na akaamuru mtuhumiwa arudishwe mahabusu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad