AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Salum mwenye miaka 38 anadaiwa kumuua mke wake, Leyla, siku ya Ijumaa kuu kwa kumchoma visu mara shingoni na kifuani. Mauaji hayo yalifanyika nyumbani kwa wanandoa hao, Kirkstall Avenue, Haringey, Uingereza.
Kesi hiyo ya Salum haikuweza kusikilizwa baada ya kuwepo kwa mgomo wa wanasheria wa ngazi za juu nchini humo ulioanza tangu April 1, 2018.
Wakili anayemtetea Seona White amesema amewasiliana na vitengo zaidi ya 20 vya wanasheria, lakini hakuna aliyekubali kumtetea Salum kutokana na mgomo wa Wanasheria unaoendelea,
Jaji wa mahakama hiyo, Anuja Dhir amesema kesi hiyo itasikilizwa tena June 20 na akaamuru mtuhumiwa arudishwe mahabusu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK