Haji Manara Atoa Kali Amkaribisha Msemaji wa Yanga Mjini "Njoo Nikupe Elimu Hii"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Haji Manara Atoa Kali Amkaribisha Msemaji wa Yanga Mjini "Njoo Nikupe Elimu Hii"
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano cha Klabu ya Simba SC, Haji Manara amemkaribisha mjini Msemaji wa  Klabu ya  Young Africans, (Yanga)  Dismas Ten  kwa kumwambia anamkaribisha kumpatia elimu juu ya kazi anayoifanya.


Manara  ametoa kauli hiyo ya kumkaribiisha mjini Msemaji huyo wa Yanga baada ya Klabu yake kuifunga Yanga siku ya jana ambapo amesema alimuweka kiporo siku nyingi na kwamba alikuwa akisubiri siku ya kumpa majibu kutoka na kile achokiita mafumbo kutoka kwa Ten.

"Bro wewe bado sana..unatumia lugha za mafumbo ambazo haziisaidii klabu..huna hamasa na hutoi taarifa kiweledi na kwa matakwa ya sasa ya soka na soko..njoo nikupe elimu hii" Manara.



Ameongeza "Jumatatu iliopita ulisema Yanga lazma watashinda..haya kiko wapi? leo nimeweka picha yako na nakutag ili walau watu wakujue kidogo....Hii ndio Simba bro...okey karibu town".

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad