AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo wa WCB ameiambia Funiko, Radio Five kuwa yeye binafsi anaheshimu maamuzi ya Zari kwa kuwa ana sababu zake za msingi.
“Mimi na heshimu sana maamuzi ya mtu, siwezi kuzungumza kama ni vibaya au ni vizuri, kwanza muda wa kumshauri mtu kuhusu mahusiano ndio sina,” amesema.
Alipoulizwa iwapo kipindi wawili hao walikuwa katika mahusiano kuna baadhi ya vitu alinufaika navyo kutoka kwa Zari, Harmonize alijibu;
“Kuzungumza amenisaidia au hajanisaidi sio kitu kizuri halafu kwa njia moja au nyingine unaweza kuonekana ni mnafiki, kwanini usiseme siku zote uje useme leo,” alieleza.
Mnano February 14 mwaka huu katika siku ya wapenda nao Zari The Boss Lady ambaye ni mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, aliposti Ua Jeusi katika mtandao wa Instagram na kutangaza kuachana kimahusiano na msanii huyo rasmi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK