Rais wa zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 24 Jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 24 Jela
Mahakama ya Korea Kusini imempata na hatia Rais wa zamani wa nchi hiyo, Park Geun-hye.

Geun amekutwa na makosa 18 ikiwemo kutumia vibaya madaraka yake na kupokea rushwa hivyo mahakama hiyo imemuhukumu kifungo cha miaka 24 gerezani.

Akisoma hukumu hiyo Jaji wa Mahakama hiyo alisema, “The President abused the power which was given to her by the citizens.” Hakimu huyo aliongeza kuwa hukumu kali ilihitajika ili kutuma ujumbe wa wazi kwa viongozi wa baadaye wa nchi hiyo.

Hata hivyo waendesha mashitaka walimwomba Hakimu kumhukumu Geun kifungo cha miaka 30 jela. Pia Rais huyo wa zamani wa Korea Kusini atatakiwa kulipa faini ya dola milioni 17 mbazo ni zaidi ya shilingi bilioni 38 za Kitanzania.

Kesi ya Geun a=ilifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanaza January 3 mwaka jana japo kiongozi huyo hakuweza kuhudhuria mahakamani hapo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad