Heche Atoa Kauli Nzito Baada ya Kutishiwa Maisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Heche Atoa Kauli Nzito Baada ya Kutishiwa Maisha
Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuna njama zinaendelea za kutishia maisha yake baada ya kuonekana akiikosoa Serikali kufuatia kauli zake ikiwemo kuhusu ufisadi uliofanyika katika vitambulisho vya taifa vya NIDA .

“Kwa kifupi kuhusu njama zinazoendela za tishio juu ya maisha yangu, imekuwa kawaida sasa kwa taifa letu ukionekana unaikosoa Serikali pengine unaweza ukatengenezewa ajali au vyovyote vile” –John Heche

“Mtakumbuka February 2 nilizungumza kuhusu ufisadi uliofanyika kwenye vitambulisho vya taifa na upandaji wa bei uliofanyika lakini pia nilizungumza kuhusu sakata la ufisadi katika Passport, baada ya kuyazungumza hayo nikaanza kupata vitisho na kuambiwa nimegusa sehemu ambayo wakubwa hawataki uguse” –John Heche
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad