AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Mh.Stella Ikupa leo Aprili 11, 2018 kwenye kikao cha saba mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo linafanyika Jijini Dodoma, wakati akijibu swali la Mbunge Khadija Ali aliyetaka kujua iwapo serikali ina idadi kamili ya watu wenye ulemavu na aina ya ulemavu walionao na kusema aina ya walemavu waliyokuwa nao ni pamoja na ya watu wenye ualbino, kuona, kusikia, kutembea, kukumbuka, kujihudumia na ulemavu mwingine.
Mbali na hilo, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Stella Ikupa amesema mtu yeyote atakayebainika kufanya vitendo vya ubakaji kwa watu wenye ulemavu atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazostahiki dhidi yake.
Kwa upande wake naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama ametoa rai kwa watu wote na wawekezaji wanaoanzisha viwanda nchini Tanzania, kuwa watu wenye ulemavu nao wana nafasi ya kuongeza nguvu kazi ya nchi katika ujenzi wa taifa kupitia uchumi wa viwanda hivyo basi wapewe fursa kuzingatia sheria ya nchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK