Kauli ya Mzee Akilimali Baada ya Kufuzu Hatua ya Makundi CAF

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kauli ya Mzee Akilimali Baada ya Kufuzu Hatua ya Makundi CAF
Baada ya kusonga mbele mpaka hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Mjumbe Mkongwe wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali, ametoa pongezi kwa klabu yake.

Akilimali amewasifu vijana wake kwa namna walivyopambana kuhakikisha wanafuzu kuingia hatua hiyo kutokana na kuiondosha Wolaita Dicha SC.

Mjumbe huyo ameelezea furaha yake kwa wachezaji wa kikosi hicho huku akisema bado wanahitaji kushikwa mkono ili wajitume zaidi haswa kuelekea mechi zingine zitakazofuata.

Kikosi hicho kimewasili usiku wa leo jijini Dar es Salaam na kupokelewa na baadhi ya mashabiki katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Yanga imefuzu kuingia hatua hiyo kwa idadi ya mabao 2-1, ambapo katika mechi ya mkondo wa pili ilikubali kufungwa bao 1-0 Aprili 18 wiki hii huko Awassa, Ethiopia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad