AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vita
ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya inaendelea tena usiku wa leo ambapo
Liverpool wata
Liverpool
waliingia hatua ya nusu fainali baada ya kuing'oa Manchester City kwa
jumla ya mabao 5-1 huku nyota wake Mohamed Salah aking'aa.
AS Roma nao walitinga hatua hiyo kufuatia kupindua matokeo dhidi ya vinara wa ligi nchini Spain, FC. Barcelona.
Mechi hiyo ambayo inasubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka duniani, itaanza majira ya saa 3 na dakika 45 za usiku.
Baada ta mtanange huo, kesho pia ligi hiyo itaendelea kesho kwa Bayern Munich kuikaribisha Real Madrid kutoka Spain.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK