AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada
ya kwenda sare ya bao 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja
wa Sokoine mjini Mbeya, kikosi cha Yanga nacho kimeamua kuweka kambi
Yanga
imeweka kambi maalum Morogoro kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya ligi
dhidi ya watani wake wa jadi, Simba SC, itakayopigwa Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam, Aprili 29 2018.
Kikosi
hicho kimeanza mazoezi yake jana kwenye Uwanja wa Jamhuri ikiwa ni
takribani siku tano pekee zikiwa zimesalia kuelekea mechi hiyo inayoteka
hisia za watu.
Mbali
na Yanga, Simba nao walikuwa wa kwanza kutia miguu mjini humo baada ya
mechi yake ya ligi na Lipuli, ambapo inafanyia mazoezi yake kwenye
Uwanja wa Chuo Cha Biblia.
Hivyo timu zote hizo, Simba na Yanga, zipo Morogoro hivi sasa kabla hazijakutana kwenye mtanange wa Jumapili ya wiki hii.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK