AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri Mpina amesema…>>>“Kwa mamlaka niliyonayo kulingana na sheria ya kitengo cha hifadhi za bahari na maeneo tengefu, Namba 29 ya mwaka 1994 nanatoa maelekezo yafuatayo”
Namsimamisha kazi Meneja wa kitengo cha bahari na maeneo tengefu (MPRU) Dr Milali Machumu mara moja kwa kushindwa kusimamia ipasavyo kitengo hiki, pamoja na kumsimamisha kazi pia atachunguzwa
Ninavunja Bodi ya wadhamimi mara moja na kuisuka upya
Ninamwagiza Katibu mkuu wa Uvuvi katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuunda kamati ya uchunguzi kuhusu utendaji kazi wa Meneja
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK