Mke wa Mwana wa Mfalme wa Uingereza Amejifungua Mtoto wa Kiume

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mke wa Mwana wa Mfalme wa Uingereza Amejifungua Mtoto wa Kiume
Mtoto huyo ambaye atakuwa kitukuu wa sita wa malkia, amezaliwa katika hospitali ya St.Mary iliyopo Lindo Wing huko mjini London .

Hali ya afya ya mama na mtoto inaendelea vizuri .

Ujio wa mtoto wa tatu wa mwana wa Mfalme na mke wake Catherine amezaliwa saa saa saba majira ya Afrika mashariki.

Image caption
Ukoo wa Malkia wa Uingereza
Familia zote wamepata taarifa ya ujio wa mtoto huyo na wanafuraha kwa habari hizo njema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad