Rosa Ree Ajisogeza Kufanya Kolabo na Wanigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rosa Ree Ajisogeza Kufanya Kolabo na  Wanigeria
Baada ya kurekodi na rapper Emtee kutoka nchini Afrika Kusini Emtee, Rosa Ree ameweka wazi mipango yake ya kufanya kolabo na wasanii wa Afrika.

Rapper huyo ambaye kwa sasa yupo Nigeria amesema hata nchini humo kuna uwezekana akafanya kazi na baadhi ya wasanii.

“Hata hapa pia nina mpango wa kukutana na wasanii fulani ni kwa sababu tunajuana kupitia watu wengine” amesema.

Kuhusu idadi ya kolabo za kimataifa amesema, “The so many lakini at least nimeweka moja wazi, mkae mkao wa kula na huku pia tunaomba tutarudi na kitu kikubwa,”.

Kolabo ya Emtee na Rosa Ree ikitoka itamfanya kufikisha kolabo mbili na rapper wa kiume baada ya ile aliyofanya na Khalighraph Jones kutokea nchini Kenya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu keshakolewa na madawa hata sura inaonyesha

    ReplyDelete

Top Post Ad