AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo ambaye kwa sasa yupo Nigeria amesema hata nchini humo kuna uwezekana akafanya kazi na baadhi ya wasanii.
“Hata hapa pia nina mpango wa kukutana na wasanii fulani ni kwa sababu tunajuana kupitia watu wengine” amesema.
Kuhusu idadi ya kolabo za kimataifa amesema, “The so many lakini at least nimeweka moja wazi, mkae mkao wa kula na huku pia tunaomba tutarudi na kitu kikubwa,”.
Kolabo ya Emtee na Rosa Ree ikitoka itamfanya kufikisha kolabo mbili na rapper wa kiume baada ya ile aliyofanya na Khalighraph Jones kutokea nchini Kenya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyu keshakolewa na madawa hata sura inaonyesha
ReplyDelete