Rwanda Kuwakamata Walemavu Ombaomba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rwanda Kuwakamata Walemavu Ombaomba
Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kamata na kuwaweka gerezani walemavu wote wanaojihusisha na vitendo vya kuomba omba barabarani kwa madai kuwa ni chanzo cha uchafu mjini.

Uamuzi huo ambao unaweza kutekelezwa wakati wowote kuanzia sasa umewaonya walemavu hao kuwa kama hawatositisha shughuli uombaji, watatiwa ndani.
Kwa upande wa walemavu wamepokea umamuzi huo kwa shingo upande huku baadhi ya raia wakisema kwamba uamuzi huo umekuja kwa lengo la kukandamiza walemavu na watu maskini.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad