Sakata la Wanawake Waliotelekezwa na Watoto na Wabunge Lamfikia Ndugai Ataka Wapeleke Vyeti Kupima DNA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sakata la Wanawake Waliotelekezwa na Watoto na Wabunge Lamfikia Ndugai Ataka Wapeleke Vyeti Kupima DNASpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema zoezi linaloendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam linaloongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, la kuwatafutia haki wanawake waliowatelekezewaa watoto na wanaume waliozaa nao bila kuwahudumia na halikadhalika wanawake waliowakimbia wanaume zao na kuwaacha na watoto limemtikisa.

Spika Ndugai amesema baada ya Makonda kukutana na akina mama hao ambapo inadaiwa wapo baadhi ya Wabunge waliotajwa kutelekeza watoto.

Ndugai amesema (kwa utani) amesikia wapo na wanaume walitelekezewa watoto na akina mama ambao ni wabunge huku
akiwaomba wamuandikie barua na wamletee cheti kinachoonyesha na kuthibitisha Kipimo cha Vinasaba vya uzazi ‘DNA’.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad