Majaji Wawili wa Mahakama Wajihudhuru Nafasi Zao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Majaji Wawili wa Mahakama Wajihudhuru Nafasi Zao
Majaji wawili wa Mahakama ya Katiba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamejiuzulu kwenye nafasi zao, na kusalia majaji sita badala ya tisa katika Mahakama hiyo.
Jaji mmoja alifariki dunia siku ya Jumapili na wengine wawili wamejiuzulu bila hata  kutoa maelezo au sababu ya kujuzulu kwao.
Majaji hao ambao ni  Jean-Louis Esambo na Banyaku Luape wamedaiwa kutoripoti katika Mahakama ya Katiba, Mnamo Oktoba 17, 2016, ambayo ingetoa uamuzi muhimu kuhusu hatma ya DRC.
Imeelezwa kwamba Tangazo hilo limeishangaza serikali ya DRC kwa uamuzi  huo ingawa majaji hao wawili walionesha zaidi ya mara moja maoni tofauti na rais wa mahakama hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad