AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea kuelekea mchezo huo wa leo Masoud amesema mashabiki wajitokeze kwa wingi kuipa nguvu timu hiyo na wao kama benchi la ufundi na wachezaji watafanya kazi yao uwanjani ambayo ni kusaka alama tatu.
''Nachoweza kusema ni kuwakaribisha tu mashabiki mana sisi tumeshafanya maandalizi yetu vizuri na wao wakija watupe nguvu tu sisi tutafanya kazi yetu uwanjani, ni mchezo mgumu lakini tumejiandaa kushinda'', amesema.
Simba ambayo inaongoza msimamo wa ligi ikiwa na alama 49 kwenye michezo yake 21 itakuwa na kibarua kigumu dhidi ya Mtibwa Sugar ambayo ipo kwenye kiwango kizuri ikitoka kushinda ugenini dhidi ya Singida United.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK