AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shule moja ya bweni nchini Uingereza ijulikanayo kama Uppingham School imetangaza kuruhusu wanafunzi wa kiume wa shule hiyo kuvaa sketi.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Richard Maloney ameeleza kuwa mwanafunzi yeyote wa kiume atakayeomba ruhusa ya kuvaa sketi ataruhusiwa kwani anaamini uhuru na uchaguzi wa mtu ni lazima viheshimiwe.
Inaelezwa kuwa suala hili la kuvaa uniform ya aina yoyote kutasaidia sana katika kuondoa ubaguzi wa kijinsia baina ya wanafunzi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK