AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TID ameandika caption inayosema >>>“Kheri ya Pasaka, usikubali mtu akushushe chini kwenye sikukuu hii, kutoka katika moyo wangu naomba niweke wazi kwa kila mtu kuwa Niko mapenzini”
Inasemekana kuwa TID amefanya hivyo kuwajuza wale wote ambao wamekuwa wakizusha tetesi kuhusiana na mahusiano yake na kuhusishwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kwenye mitandao ya kijamii.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK