TID Amuweka wazi Mpenzi Wake Ampa Ujumbe Huu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TID Amuweka wazi Mpenzi Wake Ampa Ujumbe Huu
Msanii mkongwe katika game ya muziki wa Bongo fleva Khalid Mohamed “TID” ameamua kuweka wazi mahusiano yake ya kimapenzi kupitia ukurasa wake wa instagram

TID ameandika caption inayosema >>>“Kheri ya Pasaka, usikubali mtu akushushe chini kwenye sikukuu hii, kutoka katika moyo wangu naomba niweke wazi kwa kila mtu kuwa Niko mapenzini”



Inasemekana kuwa TID amefanya hivyo kuwajuza wale wote ambao wamekuwa wakizusha tetesi kuhusiana na mahusiano yake na kuhusishwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kwenye mitandao ya kijamii.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad