AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ameweka wazi kuwa amevutiwa sana na wimbo huo wakati akiaanza kuhutubia leo April 3, 2018 katika uzinduzi wa mradi wa kuzalisha umeme Kinyerezi 2, ambao unatarajiwa kuingiza megawatts 240 katika gridi ya Taifa.
Baada ya kumaliza kuhutubia Rais Magufuli aliomba wimbo huo upigwe tena na kukiri kuwa amemkosha sana.
"Naomba niseme tena kale kawimbo kamenigusa sana, naomba kachezwe tena hapa " alisisitiza Rais John Pombe Magufuli
Msanii Goodluck Gozbert ameachia video ya wimbo wake huu Machi 16, 2018 na kuwagusa watui wengi kutokana na utunzi wake na ujumbe ambao upo ndani ya wimbo huo ambao pia umemguda Rais John Pombe Magufuli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK