Beki Sergio Ramos Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kumuumiza Mo Salah

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Beki wa Real Madrid ambao ni Mabigwa Wapya wa Kombe la UEFA Champions League, Sergio Ramos amesisitiza kuwa hakudhamiria kumuumiza Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah katika mchezo wa fainali uliochezwa jana
-
Salah alilazimika kutoka katika mchezo huo ikiwa ni baada ya dakika 30 za mchezo kufuatia kuumia bega lake kushoto alipoanguka chini alipokuwa anawania mpira na Ramos
-
Ramos, ambaye amelaumiwa sana na mashabiki wa soka katika mitandao ya kijamii, kupitia ukurasa wake wa Twitter amemtakia Salah kupona kwema
-
Aliandika "Muda mwingine mchezo wa mpira wa mguu unakuonyesha upande wake mzuri na muda mwingine upande wake mbaya. Juu ya yote sisi ni 'professionals'. Upone haraka Mo Salah"
-
Aidha, Daktari wa timu ya taifa ya Misri, Mohamed Abou El-Ela amesema kutokana na taarifa za madaktari wa Klabu ya Liverpool, Salah ameumia 'ligament' hivyo kuna uwezekano akashiriki Kombe la Dunia
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad