AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mume wake David Kafulila amethibitisha na sasa amefikishwa katika Hospitali ya Bunge.
“Nimeshtuka sana kupokea taarifa za ajali hiyo, kama mnavyoona kwenye picha ajali ilikuwa mbaya sana na gari limeharibika vibaya. Baada ya ajali hiyo yeye alipatwa na mshituko wa moyo, lakini mpaka sasa anaendelea vizuri, kwa sasa nipo njiani naelekea huko Dodoma huko hospitali,” amesema Kafulila.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK