Breaking News: Mbunge Viti Maalumu wa Singida Ambaye Mke wa Kafulila Apata Ajali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Breaking News: Mbunge wa Singida Ambaye Mke wa Kafulila Apata Ajali
Mbunge wa Viti Maalumu wa Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA, Jesca Kishoa, amepata ajali leo Mei 11, 2018 majira ya saa nne asubuhi Jijini Dodoma.


Mume wake David Kafulila amethibitisha na sasa amefikishwa katika Hospitali ya Bunge.

“Nimeshtuka sana kupokea taarifa za ajali hiyo, kama mnavyoona kwenye picha ajali ilikuwa mbaya sana na gari limeharibika vibaya. Baada ya ajali hiyo yeye alipatwa na mshituko wa moyo, lakini mpaka sasa anaendelea vizuri, kwa sasa nipo njiani naelekea huko Dodoma huko hospitali,” amesema Kafulila.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad