AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa muda mrefu inajulikana kuwa Aunty Ezekiel ana urafiki na Wema Sepetu kwaiyo siku ambayo alionekana na Diamond na Zari visiwani Zanzibar wakila bata watu wengi walichukulia kama usaliti kwa rafiki yake.
Hivi sasa Tetesi zinadai kuwa Diamond yupo Kwenye Mahusiano na Hamisa Mobetto ambaye ni adui namba moja wa Wema Sepetu hivyo Kolabo mtu amekuwa akihoji Aunty atakuwa upande gani kama ni Hamisa au Wema?.
Lakini Aunty ameshaweka wazi kuhusu hilo na kudai hahitaji kuchagua upande kwa kuwa Zari na Hamisa sio marafiki zake bali Wema ndiye rafiki yake.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Dizzim Online, Aunty ameweka wazi kuwa Diamond sio bosi wake bali ni mshkaji wake wa siku nyingi kabla hata hajaanza Mahusiano na Moses Iyobo.
"Naseeb is not my boss, Naseeb mimi ni rafiki yangu na mshkaji wangu ni mtu ambaye nimejuana naye kabla ya kujuana na hawa watu wengine wote yaani tumejuana kivyetu na sio Kupitia Mahusiano yetu."
Hamisa sio rafiki yangu na wala Zari sio rafiki yangu na hata mwanamke mwingine wa Diamond sio rafiki yangu lakini Wema mimi ni rafiki yangu”.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK