Hamisa, Zari Sio Marafiki Zangu Lakini Wema Ndo Rafiki Yangu- Aunt Ezekiel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hamisa, Zari Sio Marafiki Zangu Lakini Wema Ndo Rafiki Yangu- Aunt Ezekiel
Muigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amefunguka na kuweka wazi kuwa hana urafiki wowote na Mama watoto wa Staa Diamond, Zari na Hamisa Mobetto.

Kwa muda mrefu inajulikana kuwa Aunty Ezekiel ana urafiki na Wema Sepetu kwaiyo siku ambayo alionekana na Diamond na Zari visiwani Zanzibar wakila bata watu wengi walichukulia kama usaliti kwa rafiki yake.

Hivi sasa Tetesi zinadai kuwa Diamond yupo Kwenye Mahusiano na Hamisa Mobetto ambaye ni adui namba moja wa Wema Sepetu hivyo Kolabo mtu amekuwa akihoji Aunty atakuwa upande gani kama ni Hamisa au Wema?.

Lakini Aunty ameshaweka wazi kuhusu hilo na kudai hahitaji kuchagua upande kwa kuwa Zari na Hamisa sio marafiki zake bali Wema ndiye rafiki yake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Dizzim Online, Aunty ameweka wazi kuwa Diamond sio bosi wake bali ni mshkaji wake wa siku nyingi kabla hata hajaanza Mahusiano na Moses Iyobo.

"Naseeb is not my boss, Naseeb mimi ni rafiki yangu na mshkaji wangu ni mtu ambaye nimejuana naye kabla ya kujuana na hawa watu wengine wote yaani tumejuana kivyetu na sio Kupitia Mahusiano yetu."

Hamisa sio rafiki yangu na wala Zari sio rafiki yangu na hata mwanamke mwingine wa Diamond sio rafiki yangu lakini Wema mimi ni rafiki yangu”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad