Mniombe Nisije Kusahau Nilikotoka na Nisije Nikawa na Kiburi- Rais Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mniombe Nisije Kusahau Nilikotoka na Nisije Nikawa na Kiburi- Rais Magufuli
Leo May 2, 2018 President Dr. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa hospital ya Kilolo ambapo amewaomba Watanzania wamuombee asije akabadilika na kuwa na kiburi.

“Niwaombe ndugu zangu mniombee, nisije kusahahu nilikotoka, ili niitumikie Tanzania kwa mafanikio makubwa, hata siku nikitoka duniani nikaenda huko, nikaishi kwa furaha kwa sababu niliwatumikia Watanzania wenzangu kwa upendo na mafanikio mazuri,” -Rais Magufuli.

“Nataka kuwahakikishia wananchi wa Kilolo, Iringa na Watanzania kwa ujumla sitawaangusha mimi siku zote nitakuwa mtumishi wenu ninajua kuongoza Kiutumishi. Naomba mniombee nisije nikabadilika nisiwe na kiburi.” -Rais Magufuli
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad