Mtoto wa Kylie Jenner Atakiwa Kupimwa DNA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtoto wa Kylie Jenner atakiwa kupimwa DNA
Bi. Wanda Webster ambaye ni mama mzazi wa msanii Travis Scott aliyezaa na Kylie Jenner, ametaka mtoto aliyezaliwa na wawili hao kupimwa vinasaba, ili kuthibitisha kama mtoto wake Travis ndiye baba mzazi.


Mama huyo amefikia uamuzi huo mzito baaada ya Kylie kupost picha ya mtoto wake na Travis anayeitwa 'Stormy', na watu kusema mtoto huyo amefanana na mlinzi wa Kylie Tim Chung.

Bi. Wanda anaamini kwamba mtoto wake Travis sio baba mzazi wa Stormy, baada ya watu kuibua maneno mitandaoni kwamba mtoto huyo hajafanana hata kidogo na rapper huyo, na badala yake amefanana na mlinzi wa Kylie Jenner ambaye muda mwingi huwa naye.

Licha ya uamuzi wa mama yake Travis kutaka kufanyika DNA kwa mjukuu wake, wazazi wa Stormy ambao ni Travis na Kylie wameonesha kudharau maneno ya watu wakisema hayana ukweli wowote.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad