AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aslay ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na eatv.tv ambapo amesema kuwa pesa anayo lakini sio ya kutisha sana inatosha kukidhi mahitaji yake na familia yake.
“Pesa ninayo ya kubadilishia mboga nisiseme sina kabisa ntakuwa nakufuru, inatosha kukidhi mahitaji yangu na familia yangu”.
Hivi karibuni msanii huyo alitajwa katika kundi la wasanii wa muziki wa kizazi kipya wenye pesa nchini zinazotokana na kazi zao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK