Kijo-Bisimba wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Angatuka Mrithi Wake Apatikana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kijo-Bisimba wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Angatuka Mrithi Wake Apatikana
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) imemtangaza Bi. Anna Henga kuwa Mkurugenzi mpya wa kituo hicho ambapo atapokea mikoba ya Mkurugenzi wake wa muda mrefu, Dr. Helen Kijo-Bisimba.


Uteuzi wa Bi. Henga ni matokeo ya mchakato wa ndani wa muda mrefu uliotekelezwa na bodi ya Wakurugenzi ya kituo hicho kutoka mwanzoni mwa mwaka 2017.

Katika taarifa iliyotolewa leo na Kituo hicho imeeleaa kuwa uteuzi wa Bi. Henga unatarajiwa kuanza Julai 1 mwaka huu..

Awali Bi. Henga alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad