AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji alipokuwa akijibu mwongozo wa spika ulioombwa na Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa aliyetaka kujua serikali imejipangaje kwa kuwa uharibifu wa mashine hizo unalipotezea taifa mapato na kwamba linaweza kuwa ni tatizo lililotengenezwa na baadhi ya watu kwa ajili ya kuhujumu mapato ya serikali.
Akijibu swali hilo Dk. Kijaji amesema mashine hizo zilianza kutofanya kazi kuanzia Mei 11, mwaka huu na baadaye likatatuliwa.
“Wiki moja baada ya kutatuliwa tatizo likajirudia hadi leo, lakini serikali imepeleka wataalamu wa ICT katika Ofisi za Mamlaka ya Mapato (TRA) kwa ajili ya kutatua tatizo hilo ambalo naamini litatatuliwa ndani ya muda mfupi ujao,” amesema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK