Shirika Linalotetea Watu Wanaotaka Kufa Limetangaza Kifo cha Mwanasansi David Goodal Aliyejiua kwa Sumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shirika Linalotetea Watu Wanaotaka Kufa Limetangaza Kifo cha Mwanasansi David Goodal Aliyejiua kwa Sumu
Mwanasayansi David Goodall mwenye miaka 104, aliyesafiri kutoka Australia hadi Uswizi ili kujitoa uhai amefariki May 10, 2018 usiku katika kliniki moja nchini Uswizi, shirika linalotetea haki za watu wanaotaka kufa limetangaza.

Mwanaikolojia huyo ambaye pia alikuwa mtaalamu wa mimea hakuwa anaugua lakini alisema kuwa aliamua kujitoa uhai kutokana na kudhoofika kwa ‘ubora wa maisha yake’.

Uswizi, ni nchi pekee iliyo na vituo vinavyotoa huduma hiyo kwa raia wa mataifa mengine, huduma ambayo inaruhusu watu kujitoa uhai.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad