Trump Atangaza Tarehe Atakayokutana na Kim Jong Un

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Trump Atangaza Tarehe Atakayokutana na Kim Jong Un
Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza kwamba atakutana na kiongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (DPRK), Kim Jong Un, nchini Singapore tarehe 12 mwezi Juni.

Trump aliushangaza ulimwengu April alipotangaza kwamba amekubali mwaliko wa kukutana moja kwa moja na Kim.

Trump alitangaza uamuzi wake saa chache baada ya kuwakaribisha nyumbani Wamarekani watatu ambao wamekuwa wakizuiliwa na Korea Kaskazini ambao waliachiliwa huru na kuruhusiwa kurejea nyumbani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad